Kiumbugarla
lugha ya asili ya Australia iliyotoweka / From Wikipedia, the free encyclopedia
Kiumbugarla kilikuwa lugha ya asili nchini Australia iliyozungumzwa na Waumbugarla katika jimbo la Northern Territory. Hakuna wasemaji ambao wamebaki kuongea Kiumbugarla, yaani lugha imetoweka kabisa. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kiumbugarla hakilingani na lugha nyingine, ila labda Kingurmbur.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d3/Arnhem_Land_languages.png/320px-Arnhem_Land_languages.png)