lugha ya asili ya Australia iliyotoweka From Wikipedia, the free encyclopedia
Kityaraity kilikuwa lugha ya Kidaly nchini Australia iliyozungumzwa na Watyaraity katika jimbo la Northern Territory. Hakuna wasemaji ambao wamebaki kuongea Kityaraity, yaani lugha imetoweka kabisa. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kityaraity kiko katika kundi la Kimalagmalag.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kityaraity kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.