Ufunuo wa Yohane
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kitabu cha Ufunuo ni cha mwisho katika orodha ya vitabu 27 vinavyounda Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/b6/BibleSPaoloFol331vFrontRev.jpg/320px-BibleSPaoloFol331vFrontRev.jpg)
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.