Kitabu cha Isaya
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kitabu cha Isaya kinashika nafasi ya kwanza kati ya vitabu vya kinabii vya Tanakh (Biblia ya Kiebrania) na vya Agano la Kale ambayo ndiyo sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo.
Kitabu cha Isaya kinashika nafasi ya kwanza kati ya vitabu vya kinabii vya Tanakh (Biblia ya Kiebrania) na vya Agano la Kale ambayo ndiyo sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo.