From Wikipedia, the free encyclopedia
Kipumi ya Kaskazini ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uchina inayozungumzwa na Watibeti na Wapumi. Mwaka wa 1999 idadi ya wasemaji wa Kipumi ya Kaskazini imehesabiwa kuwa watu 35,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kipumi ya Kaskazini iko katika kundi la Kiqiangiki.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kipumi cha Kaskazini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.