Kikemiehua ni lugha ya Kiaustro-Asiatiki nchini Uchina inayozungumzwa na Wakemiehua. Mwaka wa 1991 idadi ya wasemaji wa Kikemiehua imehesabiwa kuwa watu 1000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kikemiehua iko katika kundi la Kimon-Khmer. Wengine huiangalia kuwa sawa na lugha ya Kiman-Met.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kikemiehua kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.