Kikanju
lugha ya asili ya Australia / From Wikipedia, the free encyclopedia
Kikanju ni lugha ya Kipama-Nyungan nchini Australia inayozungumzwa na Wakanju katika jimbo la Queensland. Mwaka wa 2005, kulikuwa na wasemaji wa Kikanju wawili tu, yaani lugha imekaribia kutoweka kabisa hivi karibuni. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kikanju kiko katika kundi la Kipaman.