Kidjinba
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kidjinba ni lugha ya Kipama-Nyungan nchini Australia inayozungumzwa na Wadjinba katika jimbo la Northern Territory. Katika sensa ya mwaka 2006, kulikuwa na wasemaji wa Kidjinba 53. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kidjinba kiko katika kundi la Kiyolngu.