Khitini (ing. chitin, kutoka gir. χιτών khiton "ganda, kinga") ni dutu ngumu nusu angavu inayofanya kiunzi nje ya wadudu na arithropodi wengine.

Thumb
Kichwa na kifua cha kipepeo hufunkikwa kwa mabapa ya khitini ngumu; tumbo hufunkiwa kwa ganda nyembamba ya khitini ambayo ni laini kiasi. Mabwawa wake ni pia ngozi nyembamba zaidi ya khitini.
Thumb
Kila kinachonekana cha nzige ni khitini

Inapatikana pia katika kuta ya seli za fungi.

Kikemia ni aina ya polisakaridi yaani molekuli ndefu ya kabohidrati ya (C8H13O5N)n.


Marejeo

Other websites

Viungo vya Nje

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.