Khamis Yahya Machano
From Wikipedia, the free encyclopedia
Khamis Yahya Machano ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Chaani kwa miaka 2015 – 2020.
Khamis Yahya Machano ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Chaani kwa miaka 2015 – 2020.