![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/be/US_Navy_O5_insignia.svg/langsw-640px-US_Navy_O5_insignia.svg.png&w=640&q=50)
Kamanda
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kamanda (kutoka Kiingereza: Commander) ni cheo cha afisa wa nevi na jeshi la anga kilicho chini ya Nahodha na juu ya Luteni Kamanda.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/be/US_Navy_O5_insignia.svg/220px-US_Navy_O5_insignia.svg.png)
Cheo cha kamanda pia hupatikana katika baadhi ya vikosi vya polisi.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |