From Wikipedia, the free encyclopedia
Katika utarakilishi , kumbukizi soma tu (kwa kifupi: KUSOTU; kwa Kiingereza: Read-only memory au ROM) ni aina ya kumbukizi (kwa usahihi zaidi, kumbukizi si-fukivu) inayotumika kwenye tarakilishi na mashine nyingine ya kielektroniki.
Data za KUSOTU haziwezi kubadilika baada ya utengenezaji wa kifaa cha kutunzia hiki. Hivyo KUSOTU inatumika kutunzia data za programu zinazobadilika kwa nadra.
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.