![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/34/4Mbit_EPROM_Texas_Instruments_TMS27C040_%25281%2529.jpg/640px-4Mbit_EPROM_Texas_Instruments_TMS27C040_%25281%2529.jpg&w=640&q=50)
KUSOTU
From Wikipedia, the free encyclopedia
Katika utarakilishi , kumbukizi soma tu (kwa kifupi: KUSOTU; kwa Kiingereza: Read-only memory au ROM) ni aina ya kumbukizi (kwa usahihi zaidi, kumbukizi si-fukivu) inayotumika kwenye tarakilishi na mashine nyingine ya kielektroniki.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/34/4Mbit_EPROM_Texas_Instruments_TMS27C040_%281%29.jpg/640px-4Mbit_EPROM_Texas_Instruments_TMS27C040_%281%29.jpg)
Data za KUSOTU haziwezi kubadilika baada ya utengenezaji wa kifaa cha kutunzia hiki. Hivyo KUSOTU inatumika kutunzia data za programu zinazobadilika kwa nadra.