Josaphat Louis Lebulu
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Josaphat Louis Lebulu (amezaliwa 13 Juni 1942) ni askofu Mkatoliki nchini Tanzania.
Aliwekwa wakfu na Kardinali Laurean Rugambwa mwaka 1979.
Baada ya kuwa askofu wa Jimbo Katoliki la Same, tangu mwaka 1999, alikuwa askofu mkuu wa Jimbo Kuu la Arusha hadi alipostaafu tarehe 27 Desemba 2017.
Aliwahi kuwa rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (1988-1994).
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.