John Tengo Jabavu
Mhariri wa gazeti la Afrika Kusini la Xhosa (1859-1921) From Wikipedia, the free encyclopedia
Mhariri wa gazeti la Afrika Kusini la Xhosa (1859-1921) From Wikipedia, the free encyclopedia
John Tengo Jabavu (11 Januari 1859 - 10 Septemba 1921) alikuwa mwandishi na mwanasiasa wa Afrika Kusini. Hasa aliandika kwa lugha ya Kixhosa. Kama William Gqoba, alikuwa mhariri wa gazeti la Isigidimi samaXhosa. Baadaye alikuwa mhariri wa kwanza wa gazeti la Imvo Zabantsundu. Alianzisha chuo cha Kiafrika kilichoitwa Fort Hare baadaye.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu John Tengo Jabavu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.