Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) (kwa Kiingereza Tanzania People's Defense Force TPDF) ni jeshi lililoanzishwa mnamo mwezi Septemba katika mwaka wa 1964. Ilichukua nafasi ya jeshi la Tanganyika Rifles lililorithiwa na ukoloni wa Waingereza.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/98/KAR_Kenya.jpg/640px-KAR_Kenya.jpg)