James Watt
From Wikipedia, the free encyclopedia
James Watt (19 Januari 1736 - 19 Agosti 1819) alikuwa mhandisi kutoka Uskoti. Amekuwa maarufu kwa kuboresha injini ya mvuke kufikia kiwango kilichowezesha matumizi ya mashine hii kwa viwanda. Kwa njia hiyo alikuwa katiy a watu waliweka msingi kwa mapinduzi ya viwanda wa karne ya 18 na karne ya 19.