Jönköping ni mji nchini Uswidi. Ni mji mkubwa wa tisa katika nchi ya Uswidi. Jönköping ni mji mkuu wa mkoa ya Småland. Kuna wakazi 125,154 (mwaka 2005).

Thumb
Chuo cha Watu wa Jönköping

Jiografia

Eneo lake ni 44.33 km². Iko kando ya Ziwa Vättern.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jönköping kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.