Ivan Zaytsev (amezaliwa 2 Oktoba 1988) ni mchezaji wa mpira wa wavu wa Italia mwenye asili ya Urusi.

Thumb
Picha ya Ivan Zaytsev (2019)

Ivan Zaytsev ni mwanachama wa timu ya taifa ya mpira wa wavu ya Italia na klabu ya Italia ya Modena Volley.

Thumb
Zaytsev (2016)

Alizawadiwa medali ya shaba katika michezo ya Olimpiki huko London mwaka 2012, medali ya fedha ya mashindano ya Ulaya (2011, 2013), medali ya shaba katika michuano ya Dunia (2013, 2014).

Pia alikuwa bingwa wa mpira wa wavu huko Italia mwaka 2014 na alizawadiwa medali ya fedha katika Michezo ya Olimpiki Rio mwaka 2016.

Maisha binafsi

Ivan Zaytsev ni mtoto wa mchezaji wa michezo ya Olimpiki ya mpira wa wavu, Vyachelav Zaytsev. Alizaliwa huko Spoleto, Italia ambapo baba yake alikuwa akicheza wakati huo. Mama yake, Irina Pozdnyakova, alikuwa mwogeleaji maarufu wa zamani.

Viungo vya nje

LegaVolley Serie A profile player Archived 9 Agosti 2009 at the Wayback Machine.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.