Isotopi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Isotopi (pia: nyukilidi) ni aina tofauti za atomi za elementi za kikemia. Isotopi za elementi fulani zina nambari sawa ya protoni katika viini vyao lakini nambari tofauti za neutroni.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/8/88/Isotopi_za_hidrojeni.jpg)
Atomi ya elementi ya kikemia inaweza kupatikana kwa hali tofauti. Hali hizi tofauti huitwa isotopi.