Frederick Guy Butler (21 Januari 1918 - 26 Aprili 2001) alikuwa mwandishi wa Afrika Kusini. Alifundisha kama profesa wa Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Rhodes kule Grahamstown. Pia alitunga mashairi mengi.

Thumb
Guy Butler 1926
Ukweli wa haraka Amezaliwa, Amekufa ...
Guy Butler
Amezaliwa 21 Januari 1918
Eastern Cape, Afrika Kusini
Amekufa 26 Aprili 2001
Afrika Kusini
Nchi Afrika Kusini
Kazi yake Mshairi
Kipindi 1952-2001
Funga

Orodha ya vitabu vyake

  • When Boys Were Men (1969)
  • The 1820 Settlers (1974)
  • Selected Poems (1975)
  • Karoo Morning (1977)
  • Bursting World (1983)
  • A Local Habitation (1991)

Pia alikuwa mhariri wa vitabu:

  • Book of South African Verse (1959)

Angalia pia

Marejeo

  • Chapman, Michael. 2003. Southern African Literatures, University of Natal Press. ISBN 1-86914-028-1
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Guy Butler kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.