Gome (kwa Kiingereza: bark) ni gamba la mti: gamba hilo ni kama nguo ya mti inayolinda uhai wake unaotegemea utomvu unaopanda kutoka mizizini kwenda matawini.

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gome kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Mchoro wa shina lililokatika: 0 = ugale, 1 = mpaka wa mviringo wa ukuaji, 2 = mifereji ya sandarusi, 3 = miwale ya mosi ya ubao, 4 = miwale ya pili ya ubao, 5 = kambio, 6 = miwale ya ubao katika gome la ndani, 7 = kambio ya gome la nje, 8 = gome la ndani, 9 = gome la nje

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.