From Wikipedia, the free encyclopedia
Fudi (kutoka Kimalagasi: fody) ni ndege wadogo wa jenasi Foudia katika familia Ploceidae ambao wanatokea Madagaska na visiwa vingine katika Bahari ya Hindi. Ndege hawa ni wakubwa kuliko kwera na wakati wa kuzaa madume wana nyekundu au njano kichwani na pengine sehemu nyingine za mwili. Spishi nyingine hula mbegu hasa, nyingine hula wadudu hasa. Hulifuma tago lao kwa manyasi na majani na hulining'inizia kitawi au jani kubwa. Jike huyataga mayai 2-3.
Fudi | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Fudi mwekundu (Foudia madagascariensis) | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Spishi 6:
| ||||||||||||||
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.