ukarasa wa maana wa Wikimedia From Wikipedia, the free encyclopedia
Frankfurt ni jina la miji miwili mikubwa nchini Ujerumani. Kwa kusudi la kuitofautisha mara nyingi hutajwa pamoja na mto iliyoko:
Frankfurt ni pia jina la vijiji viwili na ilikuwa jina la maeneo ya kihistoria katika Ujerumani.
Kwa umbo la "Frankfort" au "Frankford" jina lapatikana katika Amerika ya Kaskazini. Lataja miji iliyoundwa na wahamiaji kutoka Ujerumani.
Maana asilia ya mto yanataja mambo mawili: "Frank" ni jina la kabila ya Kigermanik ya Kale ya "Wafranki". "furt" (kiing.: "ford") ni sehemu ya kupita mto pasipo maji yenye kina kikubwa.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.