![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/cf/RETRATO_DEL_GRAL._FRANCISCO_FRANCO_BAHAMONDE_%2528adjusted_levels%2529.jpg/640px-RETRATO_DEL_GRAL._FRANCISCO_FRANCO_BAHAMONDE_%2528adjusted_levels%2529.jpg&w=640&q=50)
Francisco Franco
From Wikipedia, the free encyclopedia
Francisco Franco Bahamonde (4 Desemba 1892 - 20 Novemba 1975) alikuwa jenerali wa Hispania ambaye aliongoza vikosi vya Wazalendo kupindua Jamhuri ya Pili ya Hispania wakati wa Vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Hispania na baadaye akatawala nchi kutoka mwaka 1939 hadi 1975 kama dikteta, akitumia cheo cha Caudillo (kiongozi). Kipindi hicho katika historia ya Hispania, kutoka ushindi hadi kifo cha Franco, inajulikana kama udikteta wa kifashisti.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/c/cf/RETRATO_DEL_GRAL._FRANCISCO_FRANCO_BAHAMONDE_%28adjusted_levels%29.jpg/640px-RETRATO_DEL_GRAL._FRANCISCO_FRANCO_BAHAMONDE_%28adjusted_levels%29.jpg)