Falsafa ya elimu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Falsafa ya elimu ni utafiti wa kifalsafa juu ya kusudi, utaratibu na ubora wa elimu, kwa kuchunguza ufafanuzi, malengo na maana ya elimu kwa jumla au ya mtazamo mmojawapo juu yake.
Falsafa ya elimu kwa kawaida huonwa kama tawi la falsafa na la elimu vilevile.