Ernest Rutherford
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ernest Rutherford (30 Agosti 1871 – 19 Oktoba 1937) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uingereza. Utafiti wake hasa uliweka msingi kwa fizikia ya kiini. Mwaka wa 1908 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.
Wikimedia Commons ina media kuhusu: