![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/da/Coat-of-arms-DETAILED-rgb.png/640px-Coat-of-arms-DETAILED-rgb.png&w=640&q=50)
Eneo bunge la Kipipiri
From Wikipedia, the free encyclopedia
Eneo bunge la Kipipiri ni eneo bunge la uchaguzi nchini Kenya. Ni mojawapo wa maeneo bunge matano katika Kaunti ya Nyandarua. Eneo bunge hili lina wadi nne, zote ambazo huwachagua madiwani katika Baraza la Mji wa Nyandarua. Eneo bunge hili lilianzishwa kwa ajili ya uchaguzi wa 1988.
Ukweli wa haraka
Jamhuri ya Kenya |
![]() Makala hii imepangwa kwa mfululizo: |
|
|
Nchi zingine · Atlasi |
Funga