From Wikipedia, the free encyclopedia
Durango ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexico upande wa Mexico ya kati-magharibi ya nchi. Mji mkuu ni mkubwa ni Durango. Jimbo lina wakazi wapatao 1,509,117 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 123,181.
Sehemu kubwa ya eneo lake ni milima na misitu tu. Imepakana na Chihuahua, Coahuila, Zacatecas, Nayarit na Sinaloa. Mto Nazas ni mto muhimu.
Gavana wa jimbo ni Ismael Hernández Deras.
Lugha rasmi ni Kihispania.
Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Durango (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.