Dijiti
From Wikipedia, the free encyclopedia
Dijiti (kutoka neno la Kiingereza ambalo kwa Kilatini linamaanisha kidole) ni tarakimu zinazoenea katika vidole kumi vya mkono wa binadamu, kuanzia 0 hadi 9.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/e/ea/Arabic_Numerals.svg/640px-Arabic_Numerals.svg.png)
Siku hizi neno hilo linatumika sana katika teknolojia ya simu, runinga, tarakilishi n.k. kama mfumo unaotumia namba kufichua alama za kielektroni.