Dennis Oliech
From Wikipedia, the free encyclopedia
Dennis Oliech (amezaliwa Nairobi, Kenya, 2 Februari 1985) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa kulipwa kutoka nchi ya Kenya, ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya AJ Auxerre katika Ligi ya kwanza ya Ufaransa. Ligi hiyo hujulikana zaidi kwa jina la Ligue 1.
Ukweli wa haraka Maelezo binafsi, Maelezo ya klabu ...
Dennis Oliech | ||
![]() | ||
Maelezo binafsi | ||
---|---|---|
Jina kamili | Dennis Oliech | |
Tarehe ya kuzaliwa | 2 Februari 1985 (1985-02-02) (umri 39) | |
Mahala pa kuzaliwa | Nairobi, Kenya | |
Nafasi anayochezea | Mshambuliaji | |
Maelezo ya klabu | ||
Klabu ya sasa | AJ Auxerre | |
Namba | 14 | |
Klabu za vijana | ||
Mathare United | ||
Klabu za ukubwani | ||
Miaka | Klabu | |
2007 | AJ Auxerre | |
Timu ya taifa | ||
2006 | Kenya | |
* Magoli alioshinda |
Funga