From Wikipedia, the free encyclopedia
Jimbo la Delta ni jimbo la Nigeria kusini. Iko kwenye eneo la delta ya mto Niger. 1991 ilianzishwa kutokana na jimbo la awali la Bendel. Mji mkuu ni Asaba lakini mji mkubwa jimboni ni Warri.
Delta ni eneo lenye mafuta ya petroli lakini utajiri wake haujafika kwa wananchi bali mapato ya mafuta yalitumiwa hasa na serikali kuu kwa mambo ya kitaifa na pia ufisafi.
Hivyo Delta ya mto Niger imeona umgomvi mwingi kwa sababu wenyeji hawaridhiki tena.
Delta ina wilaya 25 zinazoitwa "Local Government Areas".
|
|
Abia | Abuja Federal Capital Territory | Adamawa | Akwa Ibom | Anambra | Bauchi | Bayelsa | Benue | Borno | Cross River | Delta | Ebonyi | Edo | Ekiti | Enugu | Gombe | Imo | Jigawa | Kaduna | Kano | Katsina | Kebbi | Kogi | Kwara | Lagos | Nasarawa | Niger | Ogun | Ondo | Osun | Oyo | Plateau | Rivers | Sokoto | Taraba | Yobe | Zamfara |
Makala hii kuhusu maeneo ya Nigeria bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Delta (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.