![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/3f/Lascar_Statue_of_Dedan_Kimathi_Waciuri_%25284540820430%2529.jpg/640px-Lascar_Statue_of_Dedan_Kimathi_Waciuri_%25284540820430%2529.jpg&w=640&q=50)
Dedan Kimathi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Dedan Kimathi (Thenge, tarafa ya Tetu, kaunti ya Nyeri, 31 Oktoba 1920 - 18 Februari 1957) alikuwa Mkenya aliyeongoza harakati za kundi la Mau Mau za kutwaa ardhi iliyokuwa iko mikononi mwa wakoloni toka Uingereza.
- Kwa maana nyingine, tazama: Dedan Kimathi (kata).
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/3f/Lascar_Statue_of_Dedan_Kimathi_Waciuri_%284540820430%29.jpg/640px-Lascar_Statue_of_Dedan_Kimathi_Waciuri_%284540820430%29.jpg)
Kimathi alihukumiwa na kunyongwa kutokana na harakati zake za kuikomboa nchi ya Kenya. Serikali ya wakoloni Waingereza ilimchukua Kimathi kama gaidi, lakini wananchi wengi wa kabila la Gikuyu walimchukua kama mpigania uhuru.