Danubi (mto)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Danubi ni mto mrefu wa pili katika Ulaya baada ya Volga.
Ukweli wa haraka Mto wa Danubi ...
Mto wa Danubi | |
---|---|
| |
Chanzo | Milima ya Msitu Mweusi, Ujerumani |
Mdomo | Bahari Nyeusi |
Nchi za beseni ya mto | Romania (28.9%), Hungaria (11.7%), Austria (10.3%), Serbia (10.3%), Ujerumani (7.5%), Slovakia (5.8%), Bulgaria (5.2%), Bosnia na Herzegovina (4.8%), Kroatia (4.5%), Ukraine (3.8%), Ucheki (2.6%), Slovenia (2.2%), Moldova (1.7%), Uswisi (0.32%), Italia (0.15%), Poland (0.09%), Albania (0.03%) |
Urefu | 2,857 km |
Kimo cha chanzo | 1,087 m |
Kiasi cha maji kinachotolewa mdomoni | 6,500 m³/s |
Eneo la beseni (km²) | 801,463 km² |
Funga
Jina lina asili katika lugha za Kislanovi na kumaanisha kiasili "mto". Mto huu unapita katika nchi nyingi na majina yake ni Donau (Kijerumani), Dunărea (Kiromania), Dunav (Kikroatia na Kiserbia), Duna (Kihungaria) na Dunaj kwa Kislovakia.