![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/af/Mezquita_C%25C3%25B3rdoba_foto_a%25C3%25A9rea.jpg/640px-Mezquita_C%25C3%25B3rdoba_foto_a%25C3%25A9rea.jpg&w=640&q=50)
Córdoba, Hispania
From Wikipedia, the free encyclopedia
Cordoba (kwa Kihispania: Córdoba, tamka kor-do-ba) ni mji wa kihistoria wa Andalusia kusini mwa Hispania kando ya mto Guadalquivir. Ni makao makuu ya mkoa wa Cordoba. Kuna wakazi 321,000.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/af/Mezquita_C%C3%B3rdoba_foto_a%C3%A9rea.jpg/640px-Mezquita_C%C3%B3rdoba_foto_a%C3%A9rea.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/57/Spain_Andalusia_Cordoba_BW_2015-10-27_13-54-14.jpg/640px-Spain_Andalusia_Cordoba_BW_2015-10-27_13-54-14.jpg)
Cordoba (kwa Kihispania: Córdoba, tamka kor-do-ba) ni mji wa kihistoria wa Andalusia kusini mwa Hispania kando ya mto Guadalquivir. Ni makao makuu ya mkoa wa Cordoba. Kuna wakazi 321,000.