From Wikipedia, the free encyclopedia
Cheruku ni ndege wa jenasi mbalimbali katika familia Glareolidae. Ndege hawa wanaweza kukimbia sana. Wanatokea mahali pakavu kama nyika au jangwa. Hula nzige na wadudu wengine na huyataga mayai mchangani. Cheruku-mamba huonekana karibu na mito na hutaga mayai yake kwa mafungu ya mchanga mtoni. Huainishwa na wataalamu wengine katika familia Pluvianidae. Spishi hii hula wadudu lakini pia hutoa nyama kwa kati ya meno ya mamba.
Cheruku | ||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Cheruku kaskazi | ||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||
| ||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||
Jenasi 3:
| ||||||||||
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.