Carlo Rubbia

Mwanafizikia wa chembe wa Italia From Wikipedia, the free encyclopedia

Carlo Rubbia

Carlo Rubbia (amezaliwa 31 Machi 1934) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Italia. Baadhi ya utafiti mwingine alichunguza usumaku wa sehemu za atomu. Mwaka wa 1984, pamoja na Simon van der Meer alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Carlo Rubbia kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

'

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Kazi yake ...
Carlo Rubbia
Carlo Rubbia, 2005.
Amezaliwa31 Machi 1934
Kazi yakemwanafizikia kutoka nchi ya Italia
Funga

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.