![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/2/20/Large_Cairo_Landsat.jpg/640px-Large_Cairo_Landsat.jpg&w=640&q=50)
Kairo
mji mkuu wa Misri / From Wikipedia, the free encyclopedia
Kairo (kwa Kiarabu القاهرة al-Qāhira – „mwenye ushindi“) ni mji mkuu wa Misri na mji mkubwa wa nchi zote za Kiarabu, pia moja kati ya majiji makubwa duniani.
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Kairo | |||
| |||
Majiranukta: 30°03′N 31°22′E | |||
Nchi | Misri | ||
---|---|---|---|
Mkoa | Kairo | ||
Tovuti: www.cairo.gov.eg |
Funga
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/2/20/Large_Cairo_Landsat.jpg/640px-Large_Cairo_Landsat.jpg)
Kairo yenyewe inakadiriwa kuwa na wakazi 10,230,350 [1], kanda ya jiji pamoja na mitaa ya nje na mapembizo ni 15,628,325 [2].