![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5f/Fenerbah%25C3%25A7e_-_Cagliari_Calcio_20170807_%2528192%2529.jpg/640px-Fenerbah%25C3%25A7e_-_Cagliari_Calcio_20170807_%2528192%2529.jpg&w=640&q=50)
Cagliari Calcio
From Wikipedia, the free encyclopedia
Cagliari Calcio (maarufu kama Cagliari; matamshi ya Kiitalia: [ˈkaʎʎari]) ni klabu ya mpira wa miguu huko Italia. Klabu hii kwa sasa inacheza katika Serie A.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5f/Fenerbah%C3%A7e_-_Cagliari_Calcio_20170807_%28192%29.jpg/640px-Fenerbah%C3%A7e_-_Cagliari_Calcio_20170807_%28192%29.jpg)
Uchezaji bora wa klabu hiyo Ulaya ulionekana kwenye mashindano ya kuwania Kombe la UEFA la mwaka 1993-94, ilitolewa na klabu ya Inter milan katika hatua ya nusu fainali.