Bhutan
From Wikipedia, the free encyclopedia
Bhutan ni nchi ndogo ya Bara Hindi katika milima ya Himalaya.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: "Nchi moja, taifa moja" | |||||
Wimbo wa taifa: Druk tsendhen | |||||
Mji mkuu | Thimphu 27°28′ N 89°38′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | Thimphu | ||||
Lugha rasmi | Dzongkha | ||||
Serikali | Ufalme Jigme Khesar Namgyal Wangchuck (འཇིགས་མེད་གེ་སར་རྣམ་རྒྱལ་དབང་ཕྱུག) Tshering Tobgay (ཚེ་རིང་སྟོབས་རྒྱས) | ||||
Ufalme wa kikatiba Wangchuk Dynasty |
17 Desemba 1907 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
38,394 km² (ya 133) 1.1 | ||||
Idadi ya watu - 2018 kadirio - 2006 sensa - Msongamano wa watu |
754,388 (ya 165) 672,425 19.3/km² (ya 162) | ||||
Fedha | Ngultrum (BTN ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
BTT (UTC+6:00) (haitumiki) (UTC+6:00) | ||||
Intaneti TLD | .bt | ||||
Kodi ya simu | +975
- |
Funga
Nchi imepakana na Uhindi na jimbo la Tibet la China.
Imetawaliwa na mfalme Jigme Singye Wanchuck tangu 1972.
Kuna wakazi takriban lakhi saba unusu.
Mji mkuu unaitwa Thimphu.