From Wikipedia, the free encyclopedia
Bungo ni jina linalotumika kwa kawaida kwa mbawakawa wakubwa wa oda za chini Staphyliniformia, Scarabaeiformia na Elateriformia na familia za juu Tenebrionoidea na Chrysomeloidea za oda ya chini Cucujiformia, zote katika oda Coleoptera. Ili iwe rahisi inapendekezwa kuziita spishi ndogo zaidi za vikundi hivi bungo pia. Mifanano ya familia za bungo ni bungo mbawa-nusu, bungo walangozi, bungo maridadi, bungo-fyatuo, bungo-mavi, bungo wapenda-giza na bungo-lengelenge.
Bungo | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Bungo wa unga (Tenebrio molitor) | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Oda za chini 4:
| ||||||||||||||
Staphyliniformia
Scarabaeiformia
Elateriformia
Tenebrionoidea
Chrysomeloidea
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.