Botania ni tawi la sayansi inyohusu utaalamu wa mimea.

Jamii ya mimea kwenye milima ya Ruwenzori

Ni kitengo cha biolojia. Inachunguza maumbile ya mimea, uainishaji wao, ekolojia ya mimea, mazingira yao, mahitaji na lishe yao, namna yao za kuzaa, jinsi zinavyokaa pamoja na kutegemeana na matumizi yao katika kilimo.

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Botania kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Ukweli wa haraka
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Funga

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.