Blindness (kitabu)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Blindness (kwa Kireno: Ensaio sobre a cegueira, maana yake Insha juu ya Upofu) ni kitabu cha riwaya kilichoandikwa na mwandishi wa Kireno anayeitwa Jose Saramago. Kitabu hicho cha riwaya kilitolewa chapa ya kwanza nchini Ureno mwaka 1995, kwa lugha ya Kireno na baadaye mwaka 1997 kilitolewa chapa nyingine kwa lugha ya Kiingereza na hiyo ikiwa ni mwaka 1997. Blindness ni moja kati ya vitabu maarufu vya fasihi pamoja na kitabu cha The Gospel According to Jesus Christ na kitabu cha Baltasar and Blimunda