Birmingham, Alabama
From Wikipedia, the free encyclopedia
Birmingham ni mji wa Marekani katika jimbo la Alabama. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao 1,200,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 140 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Birmingham | |||
| |||
Mahali pa mji wa Birmingham katika Marekani |
|||
Majiranukta: 33°39′12″N 86°48′32″W | |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Alabama | ||
Wilaya | Jefferson | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 229,800 | ||
Tovuti: www.BirminghamAL.gov |
Funga