From Wikipedia, the free encyclopedia
Berd (kwa Kiarmenia: Բերդ; zamani uliitwa: Berrdagyugh, Berrdgyugh, T’avuzghala, T’auzk’end, T’ovuz, T’ous, Taua Kale, T’auzkala, Taya-Kala, Tovuzkala, Bert, T’ous Gale, Volorut, Shlorut, Ghalak’yand, na T’uzukala) ni mji uliopo nchini Armenia kwenye mkoa wa Tavush. Mji huu huhesabiwa kama kitovu cha kanda ya maeneo ya Shamshadin. Upo upande wa kushoto mwa mto Tavush, takribani kilomita 211 kutoka mjini Yerevan. Mji umezungukwa na vilima.
Makala hii kuhusu maeneo ya Armenia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Berd kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.