From Wikipedia, the free encyclopedia
Bendera ya Monako ina milia miwili ya kulala ya nyekundu (juu) na nyeupe (chini). Rangi hizi mbili zimepatikana katika nembo ya familia ya Grimaldi tangu mwaka 1339.
Muundo wa bendera uliopo ulianzishwa rasmi mwaka 1881.
Ofisi ya Mtemi na ofisi za serikali yake hutumia bendera inayoonyesha nembo la Monako.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.