Bendera ya Honduras
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Bendera ya Honduras ina milia mitatu ya kulala yenye rangi za buluu-nyeupe-buluu. Katikati kwenye mlia mwekundu kuna nyota tano za buluu.
Bendera jinsi ilivyo imepatikana tangu mwaka 1866. Asili yake ni bendera ya "Shirikisho la majimbo ya Amerika ya Kati" kati ya 1823 na 1838.
Nyota tano hukumbusha nchi tano zilizoungaishwa katika shirikisho hili kwa matumaini ya kwamba umoja utarudishwa siku moja tena.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.