Belgrad
From Wikipedia, the free encyclopedia
Belgrad (Kiserbia: Београд - beograd "mji mweupe") ni mji mkuu wa Serbia. Iko kando la mto Danube mahali ambako mto Sava unapoishia humo. Ni pia mji mkubwa wa nchi mwenye wakazi 1,710,000 (mwaka 2002).
Belgrad (Kiserbia: Београд - beograd "mji mweupe") ni mji mkuu wa Serbia. Iko kando la mto Danube mahali ambako mto Sava unapoishia humo. Ni pia mji mkubwa wa nchi mwenye wakazi 1,710,000 (mwaka 2002).