From Wikipedia, the free encyclopedia
Michekwa (Bauhinia spp.) ni vichaka au miti ya familia Fabaceae na kuna zaidi ya spishi 500. Jina hili hutumika kwa Piliostigma thonningii pia lakini spishi hii ina majina mengi mengine (angalia mchekeche).
Mchekwa (Bauhinia spp.) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mchekwa mwekundu | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
| ||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||
Spishi zaidi ya 500, 7 katika Afrika ya Mashariki:
|
Michekwa inatokea misituni kwa kanda za tropiki za Afrika, Amerika na Asia lakini spishi kadhaa zinatokea katika savana au nusujangwa. Majani yao yana umbo la unyayo wa ngamia. Maua yao ya sm 7.5-12.5 yana petali tano zenye rangi ya nyeupe, njano, nyekundu, pinki au zambarau.
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mchekwa kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.