Basilika la Mt. Fransisko
From Wikipedia, the free encyclopedia
Basilika la Mt. Fransisko huko Assisi, (mkoa wa Umbria, (Italia) ni kanisa kubwa lililojengwa kwa muda mfupi (1228-1253) ili kutunza masalia ya Fransisko wa Asizi (1182-1226).
Ni kati ya patakatifu panapotembelewa na watu wengi zaidi, milioni kadhaa kila mwaka.
Kutokana na ubora wa sanaa zake, mwaka 2000 limetangazwa kuwa urithi wa dunia.