Bamako ni mji mkuu wa Mali pamoja na kuwa mji mkubwa nchini ikiwa na wakazi milioni moja na nusu. Iko mwambaoni wa mto Niger katika kusini ya nchi.
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Funga
Bamako na mto Niger
Bamako nchini Mali
Bamako kutoka mlimani
Watu huchunguza takataka Bamako